,,,,

bar

Saturday, 2 May 2015

Lady Jay Dee: Mume wangu alikuwa Mvivu, Mlevi na Laghai>>>


Ilikuwa ni habari ya kushtusha pale mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva Tanzania, Lady Jay Dee alipoweka hadharani kwamba ameachana na mume wake, 'presenta' wa redio Gadna Habash.


Akihojiwa katika kipindi cha Mambo Mseto, katika kituo cha Citizen nchini Kenya, alipoulizwa swali na mtangazaji wa kituo hicho Mzazi Willy Tuva, juu ya kwa nini alichukua uamuzi huo, alieleza "....nimevunja uhusiano na mume wangu kwa sababu alikuwa laghai na mlevi, na hata hivyo kazi nyingi nimekuwa nikifanya mimi" 

 Alipoulizwa juu ya kama ataingia kwenye mahusiano tena, Lady Jay Dee alisema, "Nahitaji muda wa kuwa peke yangu kwanza, lakini nafikiri nitapenda tena".



No comments:

Post a Comment

TUNAOMBA MAONI YAKO JUU YA HII HABARI HAPA CHINI

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Labels

Afya (4) Habari (37) Magazeti (11) Michezo (8) Picha zinazungumza. (6) Sheria (1) Siasa (10) Uhusiano (2)